Saturday, 27 December 2014

[NEW VIDEO] MSAMI- SHAKE SHAKE

BREAKING NEWS:Ndege ya AirAsia yatoweka na abiria 160



 Ndege ya  AirAsia aina ya Airbus A320-200160 ikiwa na abiria imepoteza mawasiliano na vituo vya kuongozea ndege na haijulikani hatima yake.
Ndege hiyo ilikuwa inasafiri kutoka mji wa Indonesia wa Surabaya kwenda Singapore .
Imeelezwa kuwa mawasiliano ya mwisho na ndege hiyo iliyokuwa na mruko namba QZ8501 23:24 GMT.
Ndege hiyo ilitarajiwa kuwasili Singapore  saa 00:30 GMT.
Taarifa kutoka wizara ya uchukuzi inasema kwamba ndege hiyo ilipoteza mawasiliano wakati ikiwa bahari ya Javavya  kati ya visiwa vya Kalimantan na Java .
Ofisa mmoja kutoka wizara hiyo Hadi Mustofa alisema ndege hiyo kabla ya kupoteza mawasiliano iliomba kibali kupita njia ambayo si ya kawaida na anga lilikuwa na mawingu sana.

Monday, 22 December 2014

UTAFITI: AINA ZA POMBE NA UFANISI WAKE KWA WATUMIAJI!


1. Pombe za Chimpumu, Dengerua, Kabungusi, Kangara, Komoni, Mbege na Chibuku.

NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SERIKALI YA TANZNIA...

Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma

JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.

new video from JCB ft BEN POL-I DON CARE

Maamuzi ya Rais Kikwete kuhusu maazimio ya Bunge, kuwawajibisha Mawaziri na akaunti ya Tegeta Escrow

 Maamuzi ya Rais Kikwete kuhusu maazimio ya Bunge, kuwawajibisha Mawaziri na akaunti ya Tegeta Escrow

Rais Kikwete leo December 22 amehutubia Taifa kwa kufanya mazungumzo na wazee wa Dar es Salaam ambapo amezungumzia mambo makuu mawili; kwanza kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa na pia maazimio ya Bunge kuhusu uchotwaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

Sunday, 14 December 2014

ZITAMBUE NA UZIJUE HAKI ZAKO KAMA MTANZANIA KWA KUSOMA RASIMU YA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA.

soma zaidi hapo chini.....



(PROPOSED  TANZANIAN CONSTITUTION)
  RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
_________
YALIYOMO
_________
UTANGULIZI

Friday, 5 December 2014

[NEW OFFICIAL VIDEO] Dully Sykes-Togoa

   



[VIDEO] OMMY DIMPOZ-Tupogo remix





[VIDEO] Young killer ft Fid Q & Belle 9- 13 (kumi na tatu)



[NEW VIDEO] AMINI-Mbeleko
THIS IS ME.....................
THIS IS ME......